Alexander 2nd Great

Friday, June 22, 2012

MAREKANI KUKIMBIA MBIO ZA MT. KILI MARATHON




Mcheza sinema maarufu duniani kutoka nchini Marekani Deidre Lorenz atakimbia mbio za kila mwaka za Mount Kilimanjaro Marathon zinazoanza kutimua vumbi kuanzia tarehe 24 Juni mwaka huu kutoka Moshi Club mjini Moshi.
Mbio hizi zilizoanzishwa na mama Marie France kutoka katika mji wa Bethesda, Maryland nchini Marekani mwaka 1991 ni mbio zinazojulikana kama 7 continental Races na zimeshawahi kupata tuzo mbalimbali za kimataifa.

Ujio wa mcheza sinema huyu aliyecheza sinema nyingi kama vile Santorini Blue, Perfect Strangers, The Great Fight, na nyingine nyingi unaiweka Tanzania katika macho ya dunia na kuwavutia watalii wengi kutoka taifa hili tajiri duniani. Deidre Lorenz alizaliwa katika jiji la Oregon nchini Marekani lakini akahamia katika jiji la New York City linalijulikana kama "The Big Apple" nchini Marekani akiwa na kampuni yake ya kutengeneza sinema inayoitwa Thira Films LLS.

eidre Lorenz ameshawahi kuteuliwa zaidi ya mara tatu kugombe tuzo za wacheza sinema maarufu duniani zinazojulikana kama Grammy Awards. Mcheza sinema huyu ataambatana na Wamarekani wengine kuja nchini tarehe 21 Juni kukimbia mbio hizi ambazo zimetokea kuutangaza sana mji wa Moshi tangu mwaka 1991. Lorenz alipatikana katika bahati nasibu iliyochezwa wakati wa mbio za New York Marathon mwaka jana.

Naye mwanzilishi wa mbio hizi mama Marie Frances ana historia ya kuanzisha mbio na matamasha mbalimbali duniani. Alikuwa pia mwanzilishi wa mbio za Pyramid Marathon nchini Misri pamoja na Miss Universe Egypt matamasha yaliyojizolea sifa kemkem.Aliombwa kuja kuanzisha mbio za Marathon nchini Tanzania na balozi wa Tanzania wa wakati ule nchini Misri.Mbio za Mt. Kilimahjaro Marathon ni moja kati ya mbio tafauti za marathon zinazifanyika katika mji wa Moshi.

Mount Kilimanjaro Marathon zitaanzia Moshi Club mpaka Rau madukani na kurudi mara tatu ambazo zitakuwa kilimeta 42. Kutakuwa pia na mbio z akilometa 21, kilimeta 10 na kilometa 5 kwa watoto. Wakimbiaji hawahitaji kuwa na ujuzi wa kukimbia watu wote wanaweza kukimbia.

Saturday, June 16, 2012


Twiga Stars Yanyukwa Na Ethiopia 1-0 Uwanja Wa Taifa




Mchezaji wa timu ya Twiga Stars, Mawanahamisi Omary akiondoka na mpira kuelekea goli la timu ya Ethiopia huku mabeki wa timu hiyo wakiwania mpira huo katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwaka ujao, mchezo huo umefanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Dar es salaam.





Wachezaji wa timu za wanawake wa Tanzania na Ethiopia wakiingia uwanjani tayari kwa kuanza mchezo. Chanzo: www.fullshangweblog.com

Vyombo vya Habari Vitumike Kuhamasisha Zoezi la Sensa -


Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Sensa kwa upande wa Zanzibar wakiendelea na Kikao chao Mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa Kikao hicho Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda.

Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Sensa Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa na Mwenyekiti Mwenza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bazlozi Seif wakikiendesha Kikao cha Tatu cha Kamati hiyo katika Ukumbi wa Wizara inayosimamia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mjini Dodoma.


NBA TALLEST PLAYER




Just about every professional basketball player can leap up in the air and slam dunk, but how many can throw it down while barely leaving their feet?

Only one player on planet earth is known to have such a skill, but he doesn't play in the NBA. The iconic Harlem Globetrotters employ this gargantuan.

Paul Sturgess is his name, "Tiny" is his nickname, but there isn't much that's small about this 7-foot-8, 325-pound mountainous man.


The pride of Loughborough, England, Sturgess played basketball at West Virginia's Mountain State University in part because he liked the gloomy weather and the mountainous geography reminded him of home.

In addition to being crowned the World's Tallest Professional Basketball Player by Guinness World Records, Sturgess is the proud owner of a viral Internet video. The clip, posted a few days ago, appears to show "Tiny" dunk with probably the worst vertical ever.
WASHIRIKI WA AFRICA GOSPEL MUSIC AWARD

Baadhi ya waimbaji waliongizwa katika kuwania tuzo tuzo malimbali za Africa gospel music awards zinazotarajiwa kutolewa tarehe 7 mwezi july mwaka huu huko jijini London nchini Uingereza.


Christina Shusho - Tanzania


Diana Hamilton - uk


Dena mwana DRC Kongo


Kefee - Nigeria

Tuesday, June 12, 2012

                      Queen Seon Deok (K-Drama) (2009)


    Queen Seon Deok (K-Drama) (2009)
  • Title : Queen Seon Deok (K-Drama) (2009)
  • Alternative Title(s) : 선덕여왕 (善德女王) / Seondeok Yeo Wang
  • Number of Episodes: 62
  • Date Aired (YYYY-MM-DD): 2009-May-25 to 2009-Dec-22
  • More Info: http://wiki.d-addicts.com/Queen_Seon_Deok
  • Summary: 
    Deokman was born a twin but was abandoned as a baby and sent to a place far away by her father, King Jinpyeong in order to protect her from being killed by an influenced royal court lady, Mishil who tries to snatch away the throne from the royal successor. Deokman was later brought back to the Silla palace, where she joined forces with her twin sister Princess Cheonmyong to oppose Mishil. However, Mishil devised sinister plans to have the two Silla princesses exiled from the kingdom, and in a secretive battle, Princess Cheonmyong was accidentally killed. But Princess Deokman shrewdly enlisted the help of General Kim Yusin and eliminated her archenemy Mishil. She then became Queen Seon Deok, the first female ruler of the Silla kingdom. This drama is about a story of a beautiful queen, who has to give up her love to save the people and thus, leaving behind many brilliant achievements.
MWIGIZAJI WA FILAMU TANZANIA, WEMA SEPETU AONYESHA JUMBA LAKE 

UNAJIFUNZA NINI KAMA MDAU WANGU WA BLOGU HII?
CHALLENGE KWA WATU WANGU WA UPANDE WA KRISTO, NA SISI TUCHEZE FILAMU NINI ILI TUTOKELEZEE NA MIJENGO...HAHAHAHA!!!
 
 Wema Sepetu, mwigizaji wa filamu Tanzania
ODAMA NDANI YA HOT MIX-EAST AFRICA
Msanii wa filamu Tanzania Jeniffer Kyaka a.k.a ODAMA wiki iliyopita alifanyiwa mahojiano na EATV kuhusiana na filamu yake mpya ya RUDE inayofanya vizuri sokoni kwa sasa. Mbali na hivyo alielezea maisha yake kwa ujumla na jinsi alivyofaidika na kazi ya filamu.

Kutoka kushoto ni mtangazaji wa Hot Mix, Anna Mbanjo, akifuatiwa na msanii wa filamu, Jeniffer Kyaka (Odama) na Fatna Ramole wa Hot Mix wakiwa katika studio za EATV

 Jennifer Kyaka mbali na uingizaji pia ni Mkurugenzi wa kampuni yake ya J-FILM 4 LIFE iliyoko Biafra Kinondoni Dar es Salaam. Aliongeza kwa kusema mbali na kucheza filamu za watu wengine na pia ametengeneza filamu katika kampuni yake ya J-FILM 4 LIFE kama The Avenger, Life 2 Life, All About Love, Loreen, RUDE na filamu mpya nyingine ambayo inakuja karibuni inayoenda kwa jina la HOUSE MAID .
 Odama akiwa katika pozi baada ya kufanya interview

Odama alimaliza kwa kuwashukuru wapenzi wake wanaom-support kwa kununua filamu zake, na hasa wanaotembelea blogu yake ( www.odama1.blogspot.com) ambayo imekuwa gumzo kubwa kwa kukusanya matukio ya wasanii wa filamu Tanzania na nje ya nchi.
 Wakitokelezea ndani ya EATV