MTEMVU AKABIDHI MSAADA WA MAGODORO 30 HOSPITALI YA TEMEKE
Mbunge
wa temeke Abbas Mtemvu akikabidhi kwa Lucy Sozigwa ambae ni katibu wa
hospitali ya temeke moja ya magodoro 30 yaliotolewa na kikundi cha
akina mama wa Neema Woman's Power (NWP).
Mbunge
wa Temeke Abbas Mtemvu akisalimiana na Mgeni Otto katibu wa kikundi
cha Neema Woman's Power(NWP) mara alipowasili katika hospitali ya
Temeke.
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akisalimiana na Moshi Ndungu ,mjumbe halmashauri tawi la Azimio.
Mbunge
wa Temeke Abbas Mtemvu akikabidhiwa magodoro 30 na Maryam Dedes ambae
ni mwenyekiti wa kikundi cha Neema Woman's Power (NWP)
No comments:
Post a Comment